Alhamisi, 9 Mei 2013

VIDEO: HALI ILIVYOKUWA ENEO LA TUKIO ARUSHA


Hivi ndivyo hali ilvyokuwa mara baada ya kitu kinachodhaniwa kuwa bomu kulipuka jijini Arusha kwenye kanisa katoliki la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, siku ya Jumapili, tarehe 5 Mei 2013, ambapo mpaka hivi sasa taarifa ya serikali inaeleza kuwa takriban watu 3 wamefariki dunia na majeruhi zaidi ya 50.



Maoni 1 :