Jumanne, 31 Desemba 2013

NYUMBA YA MCHUNGAJI MBAGATA NAYO ILIKUMBWA NA MAFURIKO

Nyumba ya Mchungaji wa Kanisa la Injili Afrika Elias Mbagata ambayo ilikuwa ni moja kati ya nyumba zilizokumbwa na mafuriko yaliyojitokeza kata ya Malolo eneo la Uzunguni.
Baadhi ya watoto walionusurika katika mafuriko hayo ya kata ya Ma yaliyoleta athari kwa zaidi ya watu 102,watoto hawa wanasubiri maji yapungue waende nyumbani kwao katika nyumba zinazoonekana hapo mbele yao.
Mvua ilyosababisha mafuriko hayo ilianza kunyesha majira ya saa moja na nusu asubuhi na kuathiri nyumba kadhaa.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni