Nyumba ya Mchungaji wa Kanisa la Injili Afrika Elias Mbagata ambayo ilikuwa ni moja kati ya nyumba zilizokumbwa na mafuriko yaliyojitokeza kata ya Malolo eneo la Uzunguni. |
Mvua ilyosababisha mafuriko hayo ilianza kunyesha majira ya saa moja na nusu asubuhi na kuathiri nyumba kadhaa. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni