Catherine ambaye ni mwanafunzi wa Chuo cha SAUT mkoani Tabora akisimama mbele ya waumini AGAPE MIRACLE CENTRE akitoa ushuhuda kuhusu matatizo ya ukosefu wa ada hatua ambayo ilimfanya apate uamuzi wa kutaka kujiua lakini mara baada ya kufika kanisani hapo na kufanyiwa maombi aliweza kufanikiwa kupata ada na sasa anawashukuru waumini waliojitokeza kumpatia msaada huo chini ya usimamizi wa Mchungaji Mbagata. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni