Mchungaji Elias Mbagata akiingia kanisani siku ya harusi
Mchungaji Marry Makundi akishuka kwenye gari siku ya harusi.
Mchungaji Marry Makundi akiingia kanisani siku ya harusi
Wachungaji wenzake na Marry Makundi kutoka mikoa mbalimbali wakihudhuria harusi
Wazazi wa Mchungaji Maryy Makundi wakiwa ndani ya kanisa siku ya harusi
Mchungaji Elias Mbagata na msindikizaji wake wakiwa wamewasili ndani ya kanisa siku ya harusi
Mchungaji Mbagata akimfunua shela bibi harusi kuhakikisha kama ni mwenyewe
Mchungaji Mbagata akifurahi baada ya kufunua shela na kujua kwamba bib harusi ni mwenyewe
Mchungaji Mbagata akimtunza bibi harusi kwa Tshs 10000
Bibi harusi na bwana harusi wakielekea madhabahuni
Bwana harusi na bibi harusi wakiwa wamekaa mbele ya madhabahu
Bwana harusi na bibi harusi wakiwa wakiwa wanasalimiana mbele ya madhabahu
Bwana harusi akimvalisha pete bibi harusi
Bibi harusi akimvalisha pete bwana harusi
Bwana harusi na bibi harusi wakisalimiana baada ya kuvalishana pete
Bwana harusi akisaini cheti cha ndoa
Bibi harusi akisaini cheti cha ndoa
Msindikizaji wa bwana harusi akisaini cheti cha ndoa kama shahidi wa bwana harusi
Msindikizaji wa bibi harusi akisaini cheti cha ndoa kama shahidi wa bibi harusi
Bwana harusi na bibi harusi wakiwa kwenye tafrija fupi iliyofanyika nyumbani
Ndugu, jamaa wakitoa salamu kwa bwana harusi na bibi harusi
Bibi akipiga picha ya pamoja na bwana na bibi harusi
Bibi harusi akimpakulia chakula bwana harusi
Wazazi wa bibi harusi wakipiga picha ya pamoja na bwana harusi na bibi harusi
Bwana harusi na bibi harusi wakiingia ukumbini
Bwana harusi na bibi harusi wakikata utepe
Bwana harusi na bibi harusi wakiwa wamewasili ndani ya ukumbi
Bwana harusi akimtambulisha bibi harusi kama mke wake rasmi
Msindikizaji bibi harusi akitoa maelekezo kwa bwana na bibi harusi
Bwana na bibi harusi wakikata keki
Bwana na bibi harusi wakilishana keki
Bwana harusi akiwapa wazazi wa bibi harusi keki
Bwana harusi akiwasilimia wazazi wa bibi harusi baada ya kuwapa keki
Bibi harusi akiwapa keki wazazi wa bwana harusi
Bwana na bibi harusi wakinywa shampeni
Bwana na bibi harusi wakipata chakula
Bwana na bibi harusi wakiwapungia mkono ndugu, jamaa na marafiki