Jumapili, 2 Juni 2013

WANACHUO WAFANYIWA MAOMBI,NA KULIOMBEA AMANI TAIFA

Mchungaji Elias Mbagata akifanya maombi ya pamoja katika kanisa la AGAPE MIRACLES CENTER lililopo eneo la Mwanza Road Tabora mjini.

Ibada ya kuombea mapepo pia leo iliendelea kama ilivyo kawaida katika kanisa hilo
Huyu ni mmoja kati ya kinamama wanaosumbuliwa na mapepo ambaye alifika katika Kanisa hili kwa ajili ya kupata huduma ya maombezi.
Wanafunzi wa vyuo vya SAUT na TPSC hapa mkoani Tabora walihudhulia katika Ibada ya maombezi kwa ajili ya Wanavyuo wote ambapo pia walitoa ushuhuda juu ya uponyaji walioupata.
Ibada maalumu inayoendeshwa katika kanisa hilo kwasasa kila jumapili hufanyika Ibada ya kuliombea amani Taifa kuepukana na shari ya kila upande wa nchi ya Tanzania.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni