Mchungaji Marry Makundi akihubiri katika kanisa la Injili Afrika lililopo Mwanzaroad Tabora mjini ambapo aliwataka waumini kumtii Roho wa kweli katika maisha yao ya kila siku. |
Baadhi ya waumini wakiwa katika maombi ya pamoja Kanisa la Injili Afrika,Ibada ya jumapili pamoja na mambo mengine waumini walipata fursa ya kuombea ujenzi wa barabara za mkoa wa Tabora. |
Mungu azidi kuwabariki
JibuFuta